Karibu BiasharaPro

Daftari lako la kidigitali kwa biashara ndogo na za kati (SMEs) nchini Tanzania.

  • google-play
  • app-store
header-screen header-screen header-screen

Kuhusu BiasharaPro

BiasharaPro ni programu ya kisasa inayosaidia wafanyabiashara wadogo na wa kati kufuatilia mauzo yao, kuhifadhi kumbukumbu za biashara, kudhibiti bidhaa, na kupata ripoti za utendaji wa biashara zao — yote kwa urahisi kupitia simu ya mkononi.

Faida Kuu za BiasharaPro

App hii imejengwa kwa Kiswahili kwa ajili ya Watanzania – rahisi kutumia hata kwa mtu asiye na uzoefu mkubwa wa teknolojia.

Hifadhi Kumbukumbu za Mauzo

Rekodi kila mauzo na malipo kwa njia rahisi na salama.

Dhibiti Bidhaa na Stoo

Tambua ni bidhaa zipi zinapatikana, zipo kwa wingi gani, na lini zinakaribia kuisha.

Ripoti na Uchambuzi wa Biashara

Pata ripoti za kila siku, kila wiki, au kila mwezi ili kujua mwenendo wa biashara yako.

Tengeneza Risiti na Invoice kiurahisi

Chapisha risiti na invoice kwa wateja na tuma kupitia WhatsApp kiurahisi.

features-mockup
features-mockup

Mawasiliano

Simu/WhatsApp: +255 761 522 078